Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, natumai hamjambo, Kwa upande wangu hali si shwar, ninaumwa hapa nilipo na ninaish mwenyewe. Aisee leo nimetamani ningekuwa nimeoa hakuna kitu nimefanya nimelala toka asubuh chumba...
6 Reactions
43 Replies
459 Views
Achana na mbio za kiatu za Fei na Aziz Kila mwanasoka msimu huu ameshuhudia pazia jeusi likifunika soka la tz ambapo nyumba ya vipaji kwa soka la Tanzania ikianguka Kila mtu mtu ukimuuliza...
4 Reactions
21 Replies
299 Views
INTRODUCTION. Mr. Liverpool kwa maisha ni mfanyakazi, mfanyabiashara na mmiliki wa vipande kwenye mutual fund.. Nasoma(ga) sanaa watu humu wanasifia FOREX, Mutual Funds (hasa UTT), Government...
65 Reactions
353 Replies
11K Views
Nahitaji ALU za watu wazima kwa bei ya jumla! Mwenye nazo tuwasiliane 0687391885
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Duniani kuna majambo na vijambo. Basi bwana juzi nikiwa natoka kwenye mishe zangunza kijamii nikapita Atm. Eneo hilo kuna Parking so nikajump kidogo pale na kuweka Mkweche wangu. Eneo hilo hilo...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia...
11 Reactions
95 Replies
576 Views
Assalaam Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino, Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi...
15 Reactions
238 Replies
6K Views
Kwa sasa soni hamna iwe kwa watu wazima hata watoto wote tupo kundi moja, kituo cha redio sijui Televisheni kina ruhusu soga kama hii ikijua kabisa haya matangazo yanaruka live na yatafikia watu...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
nadhani Tanzania bado ni darasa na shule kuu ya kipekee mno ya demokrasia barani Africa. Ni nchi pekee ya wananchi wasiozingatia ukabila, ukanda wala rangi ya mtu kwenye uchaguzi. Shukrani za...
1 Reactions
33 Replies
353 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,512
Posts
49,777,684
Back
Top Bottom