Recent content by ZMK24

  1. Z

    SoC04 Matumizi ya taasisi za Mawasiliano na mifumo ya Kidijitali kama njia ya mawasiliano (kutoa taarifa) kati ya wananchi na viongozi

    UKUAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO NCHINI Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kunipa fursa ya kuchangia mawazo muhimu yatakayosaidia TANZANIA yetu katika miaka 5-25 ijayo, kupitia Jamii forums. Dunia ya sasa imetawaliwa na mifumo ya utandawazi kupitia teknolojia ya viwango vya juu ya matumizi ya mtandao...
  2. Z

    SoC04 Mageuzi ya kiuchumi na fursa la ongezeko la watu duniani

    Tupo pamoja sana kiongozi kwenye ilo.
  3. Z

    SoC04 Mageuzi ya kiuchumi na fursa la ongezeko la watu duniani

    Naam, naamini kwenye hilo kufifanya nchi yetu kuwa yakipekee
  4. Z

    SoC04 Mageuzi ya kiuchumi na fursa la ongezeko la watu duniani

    Tuko pamoja mtaalamu, Ni kweli ya kwamba idadi kubwa ya ongezeko la watu duniani ni ngumu kulizuia. Kuthibitisha ilo nchi nyingi duniani ikiwemo Tanzania zinatekeleza sera nyingi za uzazi wa mpango ilhali bado ongezeko la watu linaongezeka kwa spidi kubwa. Tukiligeuza na kuwa fursa hasa...
  5. Z

    SoC04 Mageuzi ya kiuchumi na fursa la ongezeko la watu duniani

    UTANGULIZI Ningependa kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa fursa hii adhimu, ya kuleta mapendekezo chanya kwa maendeleo ya Taifa letu. Ningependa kuanza kwa kuuliza, Je Tanzania tuitakayo ni ipi? Ni Marekani ya sasa yenye ushawishi wa kiuchumi Duniani? Au ni Dubai ya sasa yenye majengo marefu ya...
Back
Top Bottom