UKUAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO NCHINI
Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kunipa fursa ya kuchangia mawazo muhimu yatakayosaidia TANZANIA yetu katika miaka 5-25 ijayo, kupitia Jamii forums. Dunia ya sasa imetawaliwa na mifumo ya utandawazi kupitia teknolojia ya viwango vya juu ya matumizi ya mtandao...
Tuko pamoja mtaalamu, Ni kweli ya kwamba idadi kubwa ya ongezeko la watu duniani ni ngumu kulizuia.
Kuthibitisha ilo nchi nyingi duniani ikiwemo Tanzania zinatekeleza sera nyingi za uzazi wa mpango ilhali bado ongezeko la watu linaongezeka kwa spidi kubwa.
Tukiligeuza na kuwa fursa hasa...
UTANGULIZI
Ningependa kumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa fursa hii adhimu, ya kuleta mapendekezo chanya kwa maendeleo ya Taifa letu. Ningependa kuanza kwa kuuliza, Je Tanzania tuitakayo ni ipi? Ni Marekani ya sasa yenye ushawishi wa kiuchumi Duniani? Au ni Dubai ya sasa yenye majengo marefu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.