Recent content by Yesu Anakuja

  1. Yesu Anakuja

    Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15 Mafia

    Polisi wamechukua hatua gani, na DPP amechukua hatua gani?
  2. Yesu Anakuja

    Mwalimu wa Madrasa alawiti watoto 15 Mafia

    Shehk FaizaFoxy umepotelea wapi? mawazo yako yanahitajika hapa.
  3. Yesu Anakuja

    Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

    Ndoa ni mkataba wa hiari, ndoa ya lazima sio ndoa, hata sheria haiitambui. hata ukifunga kama kuna ushahidi kwamba ulilazimishwa, haitatambulika kisheria kama ni ndoa.
  4. Yesu Anakuja

    Kuelekea 2025 Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa

    ccm wana nafasi kubwa kumtumia msigwa sasa kumwaga ugali, manake chadema wamemwaga ugali. changamkieni fursa hiyo.
  5. Yesu Anakuja

    Kuelekea 2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

    nani atampa huo usajili? sio rahisi kihivi, anayewapa usajili ni mteuliwa wa sisiemu.
  6. Yesu Anakuja

    Msigwa na Sugu wamekuwa RIVALS kitu ambacho hakipendezi kwa afya ya chama

    ukiona hivyo, walikuwa enemy miaka mingi chini kwa chini, imefichuka tu sasaivi kwasababu ni wakati wake kufichuka.
  7. Yesu Anakuja

    Sikiliza English ya wakili aliyekuwa mkutanoni na Makonda

    HUYO hajawahi kupita hata LLB, labda certificate ya sheria. aibu.
  8. Yesu Anakuja

    Inadaiwa kuwa serikali ya Tanzania imeishiwa pesa na kuongeza wasiwasi wa kukamilika kwa SGR huku kukiwa na ahadi za uongo

    hata hazina huko kuna malipo mengi tu yamekwamba ninavyosikia. wenye wake zenu wafanyakazi wa umma tuambieni kama ni kweli.
  9. Yesu Anakuja

    Misri na Israel waanza kupigana Rafah. Askari wa Misri afa

    shida ninayoipata, ni kwamba palepale Rafah hamas walikuwa wanarusha rocket kutokea katikati ya raia kwenda tel aviv na zilipiga tel a viv. na wanafanya hivyo makusudi ili israel ipige palipotoka rocket watu wafe na dunia iwalaumu waisrael, ni kama wanasacrifice watu wao ili wapate huruma ya...
  10. Yesu Anakuja

    Katibu Mkuu Wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kufanya ziara Mikoa ya kanda ya Kaskazini 29/05/2024

    wazee wamezidiwa kete na vijana wawili, bashite na jerry. imagine ccm yote wangekuwa kama hawa wawili, mbona pangechimbika.
  11. Yesu Anakuja

    Makonda adai kuwindwa na Watu 8

    wasije kumpiga kama Tundu Lissu, aondoke arudi tu kwa mama kean.
  12. Yesu Anakuja

    Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    hao majaji wengine hata hawaogopi, wapo wengine walikuwa kwenye taasisi walikuwa wanalipwa karibia 10m, marupurupu rundo, wamepewa ujaji wanalipwa kama nusu ya hiyo hela na marupurupu kidogo, wengi wanatamani hata kuacha. ila ndo hawana pa kwenda. wengine wanaamua wapige rushwa tu.
  13. Yesu Anakuja

    RC Makonda na Mwanasheria wa Arusha wameshirikiana kumdhalilisha huyu mama

    halmashauri waliwakilishwa na "wakili mkuu", halmashauri hawakuwa na wajibu wowote kufanya, ila wakili mkuu. wakili mkuu na halmashauri ni ofisi mbili tofauti.
  14. Yesu Anakuja

    RC Makonda na Mwanasheria wa Arusha wameshirikiana kumdhalilisha huyu mama

    mliokimbia umande mnajulikana, kwani kusoma kuna shida gani.
  15. Yesu Anakuja

    RC Makonda na Mwanasheria wa Arusha wameshirikiana kumdhalilisha huyu mama

    hujakosea, mimi nina uelewa sawa na huyo mwanasheria wa halmashauri, ila wewe ubongo wako kama wa bashite. hao mawakili wa serikali waliosimamia hiyo kesi waliokuwa na wajibu kupeleka hiyo notice, hawatoki halmashauri, wanatoka kwa WAKILI MKUU, na ndicho alichokisema wakili wa TLS huyo. sasa...
Back
Top Bottom