Recent content by The only

  1. The only

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    NIsikudanganye uzi wako mzuri sana ungetulia na kuwa seriois ipo list ungeweka ungesaidia chama cha ccm na ungekumbukwa sana uzi wako .ila unatuuliza ni mkoa gani unafaa kwa utalii nchini tqnzania afu namba 1 unaweka bujumbura.unategemea tuumize kichwa tena ???
  2. The only

    Kuelekea 2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

    Hii ndo demokrasia asee wameumana afu marafiki balaa.nshawahi kukutana nao china mgahawani
  3. The only

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Pia james delicious kuna wengi wanamuamini hata kama mm simpendi Kama kigezo ni kupendwa si tuwape urais mitume na manabii feki wanapendwa sana na wajinga
  4. The only

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Sasa makonda mwenye hajui kaua sana .mnafiki .chawa .mdhalilishaji watumishi.tuhuma za ubwabwa (ushoga).barua ya marekani ya kudhulumu uhai wa watu.kuhusika kumshambulia lissu na kuomba msamaha.kukandamiza wapinzani .kumteka moo. Ukimuweka kwenye list tunatoa userious na kujua una3gemea upande...
  5. The only

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Nilipoona namber 1.nkajua huna akili nkaacha uzi wa kupuuzwa
  6. The only

    Kwa wafugaji wa Sungura na Simbilisi

    Sio pimbi ni mipanya isiyo na mkia haifugiki.simbilisi yuko kama panya ila ana marangi rangi
  7. The only

    RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia

    Yap mkuu uko sahihi
  8. The only

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Hebu acha nyege jeshini piga kwata huko
  9. The only

    RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia

    Namuelewa hana qualification za kuwa nafasi hiyo kwa hiyo kasoma game na anaenda nalo.ni kama hapi mm nlikuwa namuelewa kuwa anaenda na floo ya magu
  10. The only

    Makonda adai kuwindwa na Watu 8

    Sasa kaka kama marekan tu walimtuhumu kwa kuua na wamempiga burn maisha ,unategemea alioua huku mtaani wasimuweinde,yaan kabisa sabayo ambaye amelawiti wanaume na kuwaumiza ,mmoja ninamjua alimpiga na kitako cha bunduki pale kokoliko je ungekuwa ww ungeacha kumuwinda?? Hawa wasiingize serikali...
  11. The only

    Tusifunge mjadala, Mshahara wa Mbunge kwa mwezi ni 12,892,000

    Mm naona mshahara mdogo sana .Nachopinga ni utendaji wao siridhiki nao hii inaanzia kusema kigezo kusoma na kuandika
  12. The only

    Makonda adai kuwindwa na Watu 8

    Bensanane ni binamu yangu
Back
Top Bottom