Recent content by The Eric

  1. The Eric

    Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

    Siku izi nashangaa wakiristo nao wanaanza udini tena wanawajia juu muslims society.....
  2. The Eric

    Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

    😅😅😅
  3. The Eric

    Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

    Zamu ya man fongo ikiisha atakuja tena😅😅😅
  4. The Eric

    Siri nzito kuhusu alama zako za mkononi

    Nimekuelewa vizuri, rangi zikionekana nikiashiria tosha sasa kiongozi....... SWALI. Kama huwezi kuona kabisa rangi itakuwaje maana mpaka uwe na macho ya kuona rangi ndiyo utafaulu huu mtihani wa kujua hatima ya maisha yako. (Ulicho eleza wewe ni namna ya kutambua kiganja chako, lakini sio...
  5. The Eric

    Plot4Sale KIwanja kinauzwa Kimara Mwisho Millenia

    Ndiyo mkuu eneo likiwa linatambulika na serikali ya mtaa mauziano yanaweza kuafikiwa na kushuhudiwa na watu kadhaa na kufahamika kama eneo liliuzwa kwa makubaliano ya mkataba.....bado inakubalika ni sawa.
  6. The Eric

    Plot4Sale KIwanja kinauzwa Kimara Mwisho Millenia

    Pamoja chifu hizi hapa aina za haki miliki. 1. Hati miliki (title deed): hapa eneo limepimwa kabisa. 2. Barua ya Ofa: document ya kusubiri hati miliki. Eneo wanaita lina ofa. 3.Leseni ya makazi...hutolewa na wizara ya ardhi na maeneo hurasimishwa yawe na makazi. 4. Eneo kutambulika na...
  7. The Eric

    Plot4Sale Kiwanja kianuzwa Dodoma

    Hiki kiwanja mbona unauza laki 3 kwa nini???
  8. The Eric

    Plot4Sale KIwanja kinauzwa Kimara Mwisho Millenia

    Angesema haki miliki sio hati, kwamba umiliki wa eneo unatambulika na serikali ya mtaa na maeneo yote yanayo zunguka yanatambulika vilevile....ila nimemuelewa
  9. The Eric

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Kweli mkuu mond kajua kucheza na sanaa. Kipindi harmonize yupo wasafi alipita kwenye reli ya mondi alafu akaja kujibrand alone kwa mipigo yake.
  10. The Eric

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Yeye ni exceptional kumlinganisha na harmonize au marioo he's next to next extra miles.
  11. The Eric

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Harmonize na marioo wamekimbiza ila boss chibu ana disntiction asiwekwe hapa.
  12. The Eric

    Teach Men Fashion: Kuna baadhi ya Mavazi "Mwanaume" sio vema kuvaa na Kutoka Nje

    Okay me napenda kuvaaa Ngoja ni pinpoint kitu..... Kote upo sawa kabisa. ila mimi kwenye Jeans zenye mikato huwa unyama ni mwingi ila overday sivai crazy. Occassionally kuvaa crazy sio mbaya kwa overnight occassions kama club and the likes.
  13. The Eric

    Maisha ya Hamis Kichwa yanasikitisha sana baada ya kustaafu kazi ya Polisi

    Hamis Kichwa hafii bali anateseka 😅😅😅
  14. The Eric

    Wanafunzi mpaka wa primary wanavuta sigara za kielektroniki serikali na wazazi mko wapi?

    cocastic njoo useme kitu hapa wenzako wanazivuta wale wa Tabata na vikaptula vyao wamehang funguo za crown za maboss wao.
Back
Top Bottom