Recent content by Schengen

  1. S

    Shoga la kiyahudi na mmewe waasili kichanga

    Mama kalala kitandani Ndio kaletewa mtoto wake amuone baada ya operation Sasa ushoga uko wapi hapo?
  2. S

    Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

    Mchaga wa wapi? Samahani lakini
  3. S

    Kunani media za kibongo haziripoti sana habari za uchaguzi wa Afrika Kusini?

    Kajiunga na Palestine huyo Ana laana huoni mabalaa yanavyomfuata. Yeye Ndio kafungua kesi ya Netanyahu Mahakamani ICJ
  4. S

    Hii sheria ya ardhi kuhusu wageni kumiliki ardhi isipokuwa makini mtakuja kulaumiana mbeleni

    Si Bora mtu apewe chake auze Kuliko uambiwe Ni chako lakini pia hupewi
  5. S

    Masheikh waja juu, wataka Serikali iache kuingilia masuala ya Dini nchini

    Too late. Mlijifanya watu wa Fujo Mkashindwa kutumia Uhuru wa kuabudu vizuri Sasa mnasaidiwa na Serikali kusimamia Dini yenu Sasa hivi Serikali imewekeza huko mnafanya kazi Kwa ubia na Serikali. Kaeni mtulie maisha yaendelee
  6. S

    DOKEZO Shule ya Msingi Kitonga (Dar) ina Wanafunzi 4,000, Walimu 14, Madarasa 13

    Hii shule iko Dar? Du basi hii Safari bado Sana.
  7. S

    Mtoto mwaka mmoja na miezi tisa kukohoa sana nyakati za usiku

    Ok. Nimekuelewa Sana Mtoto wangu alikuwa kila ikifikia saa nane usiku anakohoa hadi anatapika kila alichokula Ndio atapata usingizi. Mchana haumwi chochote Hospital Hakuna majibu. Ikawa namuambia Mungu shida Ni nini huyu mtoto Roho yangu inaniuma Sana usiku mtoto anateseka Jambo likachukua Muda...
  8. S

    Ubaguzi wa kocha wa Taifa Star inawafanya wachezaji wengi kukataa kujiunga nayo

    Kwani kuitwa wachezaji kutoka nje Ndio kushinda? Nimeona ukiondoa Samatha na Msuva wengine wote Hakuna kitu
  9. S

    DOKEZO Moshi: Mwalimu anayehisiwa Kufichua Maovu ya Afisa Elimu wa Manispaa awekwa LOCKUP na Afisa Elimu huyo (Ndg. Ngonyani)

    Tatizo hii nchi ukiona mtu anabweka Sana Kuna anayemtegemea hapo juu Either Waziri au Kuna Mtu mkubwa alimuweka hapo wizarani So Ndio kinampa ujasiri
  10. S

    Kuelekea 2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

    Mbowe ashakubaliana n Mama Siasa za kuchukua dollars aachane nazo. Sasa hao Mabwana wengine wako kazini Serious Hapo kuna Namna inakuwa shida kuwapooza
  11. S

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Shetani amemwekea bidhaa ya kumfanya asiwe muaminifu.
  12. S

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Acha na hiyo story. Kama Unataka ule mchicha na dagaa kila siku endelea Wewe Ni masikini bado. Hudumia familia kwanza
  13. S

    LATRA Arusha yaahidi kupambana na taxi itakayobeba mzungu kama haijajiunga kwenye Saccos yao

    Assalamu alleikum, Kuna habari zimesambaa hapa Mjini Arusha kuwa LATRA wameunda SACCO'S yao ya taxi wakishirikiana na Baadhi ya matajiri wenye magari lengo likiwa Ni kuhakikisha Hakuna mtu mwingine anapewa leseni ya Minvan taxi asipojiunga na hiyo Sacco's Sasa kuna maswali mengi yanaibuka...
Back
Top Bottom