Recent content by sambulugu

  1. S

    Je, tutarajie yaliyomkuta Kafulila mkoani Simiyu kumkuta Makonda?

    Unajua kwa nini Makonda hawawezi kumtoa? Wasukuma wanahofiwa kuichukia CCM wakimutumbua Makonda! Pia watu wanaliompenda JPM wengi wanamuunga mkono Makonda!
  2. S

    Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

    Sifa sio sehemi ya kiongozi! Sifa nyingi za sasa hivi ni ujinga ujinga tu!
  3. S

    TAKUKURU Arusha yabaini watumishi wawili kutengeneza control number bandia na kutengeneza kampuni hewa ili kuchepusha pesa!

    Wewe nawe mpuuzi na mpumbvu tu! Unadhani CHADEMA na Tundu wenu mkiingia mtamaliza rushwa? Hujaona uchaguzi wenu ulivyojaa rushwa! Wapuuzi na mabwege wakubwa mwache Makonda afanye kazi yake!
  4. S

    Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

    Huyo Wasukuma walimfira wakamkataa ndo maana anawivu sana! Kumbe kuna wajinga wanamchukia Makonda kwa sababu ni Msukuma! Mijitu mijinga sana nchi hii!
  5. S

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Kwa hiyo tuseme umeshinda! Kwa ujinga wako unaamini Magari imetengeneza CCM au serkali? Punguza ujinga na chuki utaishi vizuri! Unayemchukia kakuzidi maisha wewe na ukoo wako!
  6. S

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Makonda hakupwaya ni kikundi kama nyinyi wenye chuki nae! Samia kama asingefaa angemwondoa kabisa kwenye serkali yake! Makonda mwenyewe anasema hayuko hapo kulialia na kulinda Cheo! Miaka yote Minne alikuwa nje ya system na Samia ndo alienda kumchukua tena! Kama anawakera mtajua wenyewe yeye...
  7. S

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Makonda hajawahi kutumbuliwa tokea akiwa kiongozi mkuu wa wilaya ya Kinondoni mpaka mkuu wa Mkoa alipoamua kuacha na kwenda kugombea Ubunge! Acha kujifariji!
  8. S

    Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na LHRC, nyote mnatumikia tu maadui wa Makonda

    Wewe ni mpuuzi tu hayo magari insurance ina kazi gani? Shule ulienda kusoma ujinga?
  9. S

    Siyo vibaya Makonda akaomba radhi Ili maisha yaendelee, bado anahitajika kwenye Uongozi!

    Sasa kupafahamu kwao ndo ujinga gani? Hata kama familia yao ni masikini wewe inakuhusu nini? Mwache ale maisha maana Makonda anayo hela ya kutosha na mke wake ni mfanya biashara! Acha kufatilia maisha ya watu!
  10. S

    Siyo vibaya Makonda akaomba radhi Ili maisha yaendelee, bado anahitajika kwenye Uongozi!

    Ujinga ulio nao unajua mwanamke mzuri ni kwa muonekano tu! Kwanza wewe Mme kasema mke wake mzuri kwa nje na ndani! Achana nae unapenda uongo sana mara nyumba mara maneno kibao! Huoni mwanamke ni mzuri ndo maana kasababisha Makonda awajengee nyumba wazazi wake! Wanawake nyie malaya malaya mme...
  11. S

    Siyo vibaya Makonda akaomba radhi Ili maisha yaendelee, bado anahitajika kwenye Uongozi!

    Makonda hajawahi kutumbuliwa nenda zako bhana!
  12. S

    Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za marehemu analiwa kichwa kwa alihokifanya Longido

    Wakiona hivo wana wivu nae wanatamani kumaliz kabisa kimwili na kiroho! Hahahah
  13. S

    Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za marehemu analiwa kichwa kwa alihokifanya Longido

    Wewe usiyeelewa Mama alilazimishwa kumtoa Makonda haikuwa matakwa yake! Uwe unaelewa na Makonda hawezi kutolewa Ukuu wa Mkoa kwa shutma za kitoto kama hizo!
  14. S

    Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za marehemu analiwa kichwa kwa alihokifanya Longido

    Makonda hawatakaa wamuweze wengi ni washenzi tu! Hao UWT na LHRC walishafanya nini kuzuia uonevu kwa wanawake na ukosefu wa maadili!
  15. S

    Staili ya Makonda katika ziara yake inatakiwa kukemewa

    Ukitaka kujua Engeer wa TARURA ni kilaza angalia ubora wa barabara wanazojenga! Hakuna mitaro ubora zero! Uingeer wa kibongo huu ni upuuzi tu!
Back
Top Bottom