Recent content by R-K-O

  1. R-K-O

    Simu ya milioni 1+ ila unahangaika na bando, utafaidi kweli? Kwanini usinunue simu mid range ya kati halafu hela inayobaki uwekee kwenye bando?

    Watu wengi sana mkuu, ni hawa wanaopata pesa za ghafla (zawadi, betting, michezo, kuotea, boom la chuoni, n.k) ama wengine wanaodunduliza
  2. R-K-O

    Simu ya milioni 1+ ila unahangaika na bando, utafaidi kweli? Kwanini usinunue simu mid range ya kati halafu hela inayobaki uwekee kwenye bando?

    Ni heri ununue hata Premio yako kama una uchumi wa kawaida, mafundi kibao hata wa elf 20 utamkuta, spare hata ya el 50 utaikuta mpaka vijijini, Jichanganye kwenye hayo ma range sasa, mafundi ni wachache sana utapigwa gharama za ufundi hata milioni 2 na huna pengine pa kukimbilia, spare inaweza...
  3. R-K-O

    Simu ya milioni 1+ ila unahangaika na bando, utafaidi kweli? Kwanini usinunue simu mid range ya kati halafu hela inayobaki uwekee kwenye bando?

    Walengwa hasa ni wale wanaopata pesa za ghafla (zawadi, kuhongwa, betting, michezo, kuotea, boom la chuoni, n.k) na wale wanaojidunduliza. kununua simu ni hatua ya kwanza tu, bado kuna mambo yanafuata. ni sawa na gari inabidi ununue kwa kuzingatia ulaji wa mafuta, bei za spare, gharama za...
  4. R-K-O

    Mabegi yaliyojaa fedha zikiwemo CFA franc, dola na euro yameripotiwa kukutwa katika nyumba ya msaidizi wa Nourredine Bongo, mtoto mkubwa wa kiume wa R

    Rais wa Nigeria alipomaliza muhula wake, nyumba yake ilipigwa msako Takribani Dola milioni 43, shilingi za kitanzania zaidi ya Bilioni 100 ndani ya nyumba moja tu, https://www.youtube.com/watch?v=L87ma3kKQgc
  5. R-K-O

    Kwa mara Nyingine tena Nimechunguza uwiano wa bando nalolipia na matumizi halisi niliyotumia kwa mwezi, ungana nami katika matokeo ya Research

    Tena kwa hizi simu za kisasa zinahitaji GB zisizo na mawazo maana kwa wenzetu huko zinakotengenezwa wao intenet zao hazinaga kikomo cha GB, shida inakuja kwetu, simu kali ila internet unapimiwa.
  6. R-K-O

    Kwa mara Nyingine tena Nimechunguza uwiano wa bando nalolipia na matumizi halisi niliyotumia kwa mwezi, ungana nami katika matokeo ya Research

    Ndio mkuu, Pia na kwenye simu ipo sehemu inaitwa data usage kama hutumii router inafanya kazi sawa
  7. R-K-O

    Kwa mara Nyingine tena Nimechunguza uwiano wa bando nalolipia na matumizi halisi niliyotumia kwa mwezi, ungana nami katika matokeo ya Research

    Oh , ok wacha nikueleweshe Ni kwamba unaponunua kitu mfano kilo 1 ya unga unategemea iwe kilo moja, ukishanunua hio kilo ukienda nyumbani kuipima kwenye mzani ukiona zimepungua kilo 0.003 sio mbaya ila tu utakuwa na maswali kichwani na shauku ya kupata majibu kwanini isiwe kilo 1 kamili. huenda...
  8. R-K-O

    Kwa mara Nyingine tena Nimechunguza uwiano wa bando nalolipia na matumizi halisi niliyotumia kwa mwezi, ungana nami katika matokeo ya Research

    Mtandao : TIGO Bando / Kifurushi – Tigo Post-Paid 80 GB / Elf 60 Kila mwezi. (mawasiliano natumia mtandao mwengine kwasababu naitumia namba hio tangu 2006, naunga bando la elf 10 mitandao yote ) Kifaa nachotumia ni Router ya Tigo Nipo Dsm, Mbezi Louis Nimeanza kuhesabu from scratch (0 KB)...
  9. R-K-O

    Wamarekani weusi wanaokuja Tanzania wanalalamika sana tunawabagua, maisha magumu, wanarudi Marekani pesa yote imekata, Shida ipo kwao sio kwetu ?

    Halafu hainaga ujanja wowote hio salamu. Wanaitana "Nigger" hao jamaa, hili ni Jina waliitwa utumwani lakini wao wanalisifia ila hawataki mtu asie mweusi kulitumia, ujinga wa kiwango cha lami
  10. R-K-O

    Wamarekani weusi wanaokuja Tanzania wanalalamika sana tunawabagua, maisha magumu, wanarudi Marekani pesa yote imekata, Shida ipo kwao sio kwetu ?

    ukiingia Youtube sikuhizi kuna wamarekani weusi wana ajenda yao ya go back to Africa, yaani kurudi Afrika, wanakuja nchi za Afrika ikiwemo Tanzania lakini wanafeli maisha wakifika huku, kinachofuata huwa ni kuandaa video za malalamiko kwamba tunawabagua, maisha magumu, n.k. Mimi kwa mtazamo...
  11. R-K-O

    Weka mkasa wako: Mnakutana na kuishi kwa furaha kumbe ni unafiki mwingi, kesho mkizidiana ama kupishana mnaanza kuchomeana

    Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata kazi ya mkataba wa mwaka kampuni flani binafsi, Niliweza kujuana na kuishi vizuri na wenzangu wa hio kampuni, sasa niliwakaribisha gheto wakakuta nna Tv nchi 55 (nilipewaga na bro wangu) wakaenda mwambia boss nna Tv kubwa kama nyumba hata yeye agusi...
  12. R-K-O

    Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

    Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga. Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25. Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia. Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40, unaweza kuhisi Fred alioa dada yake. Fred ni rafiki yangu, anakiri kwamba...
Back
Top Bottom