Recent content by Precious Diamond

  1. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Nilitarajia zaidi kutoka kwako kwenye hili, hata kama wewe ni chawa vitu vingine si vya kutetea. Hapa umeniangusha
  2. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Kama hilo linaathiri utendaji wake then due procedures zifuatwe, naona tumeelewana vizuri alipokosea Makonda kwenye uwasilishaji wake
  3. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Kwahiyo kama hajui kiswahili basi ndio iwe fimbo ya kumdhalilisha? Mikoani wengi wameathiriwa na lugha zao za awali (kikabila) hiki sio kigezo cha kumjibisha mtu vibaya
  4. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Naona hata na wewe umeona kosa lake mpaka unatafuta namna ya kuliweka sawa, haikuwa kitu personal hivyo alitakiwa kubaki kwenye mstari huo...sio kuanza kuingiza vitu ambavyo havihusiki na vinashusha utu wake
  5. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Hakutakiwa kuingiza mambo mambo binfasi wakati anamuelekaza, kumwabia haoingei na mchumba wake, sijui hayupo kwenye kitchen party, mara yeye ana mke mzuri nyumbani.... hapo tayari ame insinuate kuwa huyu manakamati anamtaka na anamtongoza na sio ku address alichoulizwa, kwenye kitchen party kuna...
  6. P

    Kwenye hili namtetea RC Makonda, hajafanya udhalilishaji

    Aisee, huko kichwani una kitu kweli? Kwakuwa wengi wanafanya basi linafanya jambo hilo kuwa sahihi/halali? Kiongozi/bosi wake anatakiwa kuwasiliana hivyo na mtu wa chini yake tena worse publicly? Unahitaji kujielimisha na kuelimisha wote kukomesha vitendo hivi sio tu kwa wanawake bali hata...
  7. P

    Picha za Viongozi wa Serikali kutawala kwenye mabango ya Warsha za Wadau ni takwa Kisheria au ni kujipendekeza na kujikomba kwa Serikali?

    Hii ipo kisheria nadhani, na inatakiwa iwekwe ile ambayo imetoka watu walioidhinishwa kufanya hivyo
  8. P

    Picha za Viongozi wa Serikali kutawala kwenye mabango ya Warsha za Wadau ni takwa Kisheria au ni kujipendekeza na kujikomba kwa Serikali?

    Kama ni hivi ina maana wadau (asilimia kubwa) ni CCM B, hakuna tena kutetea maslahi ya umma, bali kile kitakachowafurahisha watawala na kufanya mambo yao yaende?!
  9. P

    Picha za Viongozi wa Serikali kutawala kwenye mabango ya Warsha za Wadau ni takwa Kisheria au ni kujipendekeza na kujikomba kwa Serikali?

    Kwahiyo unasema anayewekwa kwenye bango anakuwa anaabudiwa, jambo linalopeleka na kuashiria yeyey ndio yupo juu kwenye tukio hilo na wengie wapo hapo kumtukuza?
  10. P

    Picha za Viongozi wa Serikali kutawala kwenye mabango ya Warsha za Wadau ni takwa Kisheria au ni kujipendekeza na kujikomba kwa Serikali?

    Sijaelewa ulichomaanisha Mkuu, kwamba printers wanafaidika na kutangaza wanasiasa kuliko tukio lenyewe?
  11. P

    Picha za Viongozi wa Serikali kutawala kwenye mabango ya Warsha za Wadau ni takwa Kisheria au ni kujipendekeza na kujikomba kwa Serikali?

    Kushirikiana au upande mmoja kuwa na nguvu kupitiliza kuliko mwingine? Kweli hapa kuna ushirikiano wa manufaa au upande mmoja unanyamazishwa?
Back
Top Bottom