Recent content by Mzee wa kupambania

  1. M

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Stori yako yote ya uongo
  2. M

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Unaweza ukawa jirani yangu hapa Salasala
  3. M

    Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Salasala sehemu gani mkuu?
  4. M

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Sijawahi kuona mwanamke wa maana mwenye jina la Mwa J, wengi ni vicheche na mishipa ya aibu imekatika. Kunyanyua dela kwenye vigodoro akabaki na chupi au tupu hawaoni shida
  5. M

    Hivi Mungu wenu bado yupo au amekufa? Au zile zilikuwa hadithi tu za vitabuni?

    Shetani alikuwa malaika mzuri tu ila akaasi
  6. M

    Wanaume wa sasa wanapenda kulelewa, tofauti na wa zamani

    Kwa hiyo kavulana kamemzidi akili?
  7. M

    Wanaume wa sasa wanapenda kulelewa, tofauti na wa zamani

    Kamarioo kamekutomba na bado kamekula na hela zako, pole sana
  8. M

    Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

    Inasikitisha sana kuwa na kizazi cha wanaume wajinga kama wewe
  9. M

    Wanaume: Ebu jaribu "simple dress code" hizi siku, Ujione utatokaje!

    Umenikumbusha enzi za duka la Makoba pale Kariakoo lilitamba sana miaka hiyo Kuna wadau zilikuwa pigo zao hizi unawakuta nje ya duka pale
  10. M

    Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

    Jiwe sikuwahi kumkubali hata siku moja Ila kwenye mradi wa bwawa la Nyerere mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni Ni hilo pekee alilofanya la maana kwenye kipindi chote cha uraisi wake
  11. M

    Daladala za Mbezi kupitia Manzese, Fire hadi Mnazi Mmoja zimeanza kazi rasmi

    Tatizo ni huo muda utakaokaa kituoni kusubiria mwendokasi
Back
Top Bottom