Hivi hawa Askari wetu wanazifahamu hizi rule?Maana mi najua ya kwamba hawa jamaa wakikukamata huwa wanakwambia kosa utaenda kujulia kituoni.Kataa sasa uone mtiti wake.
Bondia maarufu nchini Thomas Mashali amefanikiwa kumpiga kwa pointi bondia mgumu nchini Francis Cheka kwenye pambano la raundi 10 lililopigwa usiku wa Christmas (December 25, 2015) kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Pambano hilo la uzito wa Kg 77 ambalo lilikuwa si la ubingwa...
Huyu si ndiye anayeaminisha watu kwamba Watanzania ni Masikini na CCM ndio wameua uchumi,na anaomba kura kwan yeye anachukia umasikini!Sasa leo hao Watanzania hela za kumchangia wanatoa wapi?Mbona tunachanganyana jamani???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.