Recent content by Mashaurijr

  1. Mashaurijr

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    Hawajui kabisa kabisa .
  2. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Basi unakosea unaweza kuijua dini kwa kuisomea au kusoma kwa asilimia 40 tu . Asilimia 60 nilazima uiamini uabudu na kufuata ya kitabu ukifikia kiwango cha juu cha imani utajua mengi na kudhibitisha ukweli wa yaliyoandikwa. Wewe sio mjuaji wa kwanza walikuwepo wengi kabla yako. Ukiwaona...
  3. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Haiwezekani
  4. Mashaurijr

    Kuna haja ya sheria ya Ndoa kufanyiwa maboresho, watu wakizaa pamoja basi ihesabike ni Ndoa halali

    Acha kelele huoni vifo vinaongezeka kisa mapenzi alafu uwalazimishe wasiopendana
  5. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Dini inapimwa kwa maandishi au inapimwa kiroho .?
  6. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Tunaongelea Dini mkuu . Dini zinasemaje
  7. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Kabisa ukitaka kuomba mpalaa unagairi ukikumbuka utachomwa moto kiasi gani
  8. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Dini ya mzungu ni ipi
  9. Mashaurijr

    Mrejesho kuhusu kesi yangu na app za mikopo

    Usiwaache kamwe . Nina hasira nao walimdhalilisha ndugu yangu
  10. Mashaurijr

    TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni wa App za mikopo mtandaoni

    Hawa hata ukilipa wanaweza wasilipe Deni
  11. Mashaurijr

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    Kuuliza muhimu
  12. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Sure kabisa bila dini tungekuwa tunapandana kama mbuzi . Ustaarabu tunaoishi umeletwa na Dini
  13. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Mwanamke alikuwa akipata mimba bila kuolewa . Mwanamke mwanaume wote wanachomwa mkuki kufa, jamii nyingi za Africa ziliua pacha , jamii nyingi ziliuwa albino kabla ya dini vipi hapo
Back
Top Bottom