Recent content by masare

  1. M

    Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

    Barack Obama Umri 62 Mke 1 Watoto 2 One of the richest and powerful person in the world 😄😄kupanga ni kuchagua
  2. M

    Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

    kuna watu wanafikisha hadi miaka 50 ndio wanaoa vp miaka yote hiyo walikua hawapati sex 😄😄watoto wadogo(wavulana na wasichana) ndio wanafikiri sex ndio hitaji namba moja la ndoa ila wanaume wanaojitambua wanaelewa mahitaji ya msingi ya kuanzisha taasisi ya ndoa sex sio first and foremost ,kama...
  3. M

    Kama unataka wife material kwa maana ya tendo la ndoa basi oweni Wazaramo mtafurahia ndoa zenu

    😄😄Watu hawaoi kwa ajili ya sex...kuna sababu nyingi za kuanzisha taasisi ya ndoa sex ni kitu kidogo sana manake sex unaweza kuipata popote pale kwamfano ukienda bar yoyote ukiongea vizuri na baamedi unaipata😂😂
  4. M

    Ni mwaka wa 6 sasa sijapata ajira ya ualimu TAMISEMI

    Mungu hajakuleta duniani uogope uzee😂😂.Uzee ni stage tu mojawapo ya maisha... Bakhresa ni mzee lakini ndio tajiri namba moja Tanzania. So live your life,mtegemee Mungu atafanya kwa wakati
  5. M

    Ilikuaje ukapata Gono mara ya kwanza? Je, aliekuambukiza ulimdhania anaweza kuumwa ugonjwa huo?

    😆😆elewa neno "mmelalaje" apo nimejaribu tu kupunguza ukali wa maneno
  6. M

    Ilikuaje ukapata Gono mara ya kwanza? Je, aliekuambukiza ulimdhania anaweza kuumwa ugonjwa huo?

    Zipo verified accounts vilevile...kwakifupi kuna mambo ni very private sio ya kushare kwenye mitandao ni sawasawa kwamfano nikuulize "eti jana usiku umelalaje kitandani na mke/mumewako"? 🤣🤣
  7. M

    Ilikuaje ukapata Gono mara ya kwanza? Je, aliekuambukiza ulimdhania anaweza kuumwa ugonjwa huo?

    😆😆Ugonjwa ni Siri ya daktari na mgonjwa.That is very private
  8. M

    Ni kweli Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya fedha kutekeleza Sheria ya Jumapili?

    Wasabato adui yao mkubwa sio Shetani bali ni Wakatoliki😆😆.Sijawahi kuona Wasabato wanashambulia mafundisho ya madhehebu mengine kwamfano Lutheran,Anglican,Assemblies of God,Moravian wao kila siku ni kuwapinga Wakatoliki tu🤣🤣
  9. M

    Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

    halafu hizi threads za kuzungumzia members wa JF zimezidi sana sikuhizi humu nadhani moderators wanapaswa kufanya kitu 😆
  10. M

    Financial Security is to a woman, what sex is to a man

    Sex in exchange of money is equal to prostitution 😂😂
  11. M

    Wakaazi wa Dar na vitongoji vyake, Arusha si mkoani ni Makao Makuu ya EAC

    😆😆Ruvuma hakuna wilaya inaitwa Songea Vijijini kuna Songea DC. Ilitakiwa uandike hivi Songea MC,Songea DC,Mbinga TC,Mbinga DC
  12. M

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    😀😀Dom wanapendelewa sana kiukweli ...hii ni shule ya mfano Tanzania na East Africa yote(labda ukienda South Africa ndio unaweza kukuta level hizo) .Ujenzi wake toka "scratch" umesimamiwa na kufanywa na Jeshi. Eneo lilipojengwa(mpangilio),miundombinu,ubora na ukubwa wake ni zaidi ya Faculty ya...
  13. M

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    😂😂Subiri waje kukwambia Dodoma ni jangwa,ukame,hakuna ukijani,hakuna maghorofa,hakuna miti,hakuna Ziwa Victoria 😆😆😆
  14. M

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Mwanza ilipewa hadhi ya Jiji tangu mwaka 2000...Dodoma ilipewa hadhi ya Jiji 2018.Maendeleo yaliyopatikana Dom kwa kipindi kichache tu ukilinganisha na Mwanza ni sawa na mbingu na Ardhi 😂😂.Mwanza wana kazi ya ziada sana kuifikia rekodi ya Dom City....wanatakiwa wapambane kwanza na hizi...
  15. M

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Hizi takwimu ni "regional wise" au "city wise"...anzisha thread mpya ya kushindanisha mikoa badala ya majiji 😂😂
Back
Top Bottom