Recent content by mapema

  1. mapema

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Ngoja wikiendi tukaoshe macho kidogo, asante.
  2. mapema

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Wahoo! Thank!
  3. mapema

    Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

    Haikuwa imeandikwa aendelee na maisha zaidi ya pale, mshukuruni mungu kwa zawadi ya maisha yake japo yalikua mafupi, ila hakuja bure na wala hakuondoka bure, ajaliwe kuwa sehemu yenye furaha ya milele.
  4. mapema

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Daaah! I wish ingekuwa dar, sina wazo la kufika Zanzibar kwa namna yoyote.
  5. mapema

    Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

    Pole sana ndugu yangu , imeniuma sana usiku huu! Anyway maisha tumedhaminiwa tu kubwa ni kumshukuru aliyetudhamini, ajaliwe kupumzika kwa amani. Swali lako wataalam watajibu nasi tuweze kufamu na kuchukua tahadhari.
  6. mapema

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Location amazing sana, ipo wapi hii mkuu?
  7. mapema

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

    I wish ningekuwa eliya, ningepata sabau hata huko kwa Mungu niwe na sababu ya kujitetea kwanini sikuwa naenda kanisani. Ila kadri ya mapambazuko ya juwa ndio dini na imani za kimungu zinazidi kupotea miongoni mwa watu wengi, na sababu moja wapo kubwa ni hawa wachungaji wa mchongo!
  8. mapema

    Je, ni vibaya kwa mwanamke kumuomba mwanaume namba za simu?

    Wala hatuwaoni malaya kama mnavyo dhani, mara nyingi tunakuwa happy kweli kuanzwa na mdada, kwenu inakuwa ni kazi ndogo sana kisha sisi ndio tunaendeleza.
  9. mapema

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Hoja yangu ilikua mwanaume kwenye ndoa ni mwenye kupoteza na sikupata.
  10. mapema

    Bora Episode au mke wa pili na watatu!

    Nafasibya pili ipo wazi , tena atakuwa nafasi bora kuliko ya huyo wa kwanza.
  11. mapema

    Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

    Tuache utani wanasaidia mno! Hivi hamna namna ya kuwepo kwa siku yao ?
  12. mapema

    Msaada kujua title ya movie hii

    Ni ya bongo india ama Nigeria?
Back
Top Bottom