Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

    Hapo ndipo unapoweza kuona laana ya watanzania.badala ya kumtia moyo wao wanaona wivu . Ndio maana wezi na mafisadi wanapata kiburi cha kuiba sana pesa za umma maana wanajuwa watatetewa sana na watanzania hao hao walioibiwa kodi zao
  2. L

    Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

    Acha kutukana matusi.unafahamu sheria za kiutumishi au unaropokatu hapo? Unafahamu kila kitu kinakwenda kwa utaratibu na maandishi ya vikao? Unafahamu kila kitu kinahitaji kupitia miongozo? Acha umbumbumbu wako hapa wewe.
  3. L

    Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

    Uzalendo wao ndio maana wanaendelea kuaminiwa na kuaminika sana katika mioyo ya watanzania
  4. L

    Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

    Mungu aendelee kuwatetea na kuwalinda wazalendo wetu hawa
Back
Top Bottom