Hapo ndipo unapoweza kuona laana ya watanzania.badala ya kumtia moyo wao wanaona wivu . Ndio maana wezi na mafisadi wanapata kiburi cha kuiba sana pesa za umma maana wanajuwa watatetewa sana na watanzania hao hao walioibiwa kodi zao
Acha kutukana matusi.unafahamu sheria za kiutumishi au unaropokatu hapo? Unafahamu kila kitu kinakwenda kwa utaratibu na maandishi ya vikao? Unafahamu kila kitu kinahitaji kupitia miongozo? Acha umbumbumbu wako hapa wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.