Recent content by kmbwembwe

  1. kmbwembwe

    RC Makonda awasimamisha Kazi watumishi 13 Arumeru kwa ubadhirifu wa tsh million 600, yumo Mganga mkuu wa Halmashauri!

    Mtumishi wa umma awe mwanaccm, asiye na chama au awe mwanachama wa upinzani anapaswa kufuata namna serikali iliyoko madarakani inataka kufuatana na ilani yake iliyowapa ushindi kwenye uchaguzi.
  2. kmbwembwe

    RC Makonda awasimamisha Kazi watumishi 13 Arumeru kwa ubadhirifu wa tsh million 600, yumo Mganga mkuu wa Halmashauri!

    sasa kama mwenyewe ndiye mwenye uthubutu wa kutetea utawala wa haki. Wacha wenzake wajidai wanapigania utawala wa sheria na uhuru wa mahakama wakati kwenye uongozi kumeoza dhuluma tupu, uzembe na wizi wa umma .
  3. kmbwembwe

    Mabilioni yaliyofichwa na Hayati Magufuli kwake Chato, serikali ilikaa kimya?!

    Acha propaganda mbaya wewe. Kwa hiyo unataka kusema ni kweli magufuli alificha mabilioni chato? Chato imekua benki? Mjinga sana wewe.
  4. kmbwembwe

    Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

    Acha uongo wewe. Ngojeni Makonda awaumbue dhulumani, fisadi na wazembe. Subirini shindano iwaingie.
  5. kmbwembwe

    Jinsi ya kupambana na ushoga kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na Wanaume na Wanaume kuigiza kama Wanawake

    Mapendekeza mazuri kabisa. Ila wasagaji nao tulenge nini cha muonekano kuwajua hadharani.
  6. kmbwembwe

    Hivi hili ni ubinafsi uliopitiliza au tuitaje? Lipo sana kwa wachungaji na wanasiasa

    Mwambie lissu ndio ameleta hoja anachangiwa kununua gari jipya. Yaani kiongozi mbinafsi hadi inashangaza.
  7. kmbwembwe

    Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

    Subiri wewe. Sisi tunataka kujua nini kimefanyika na kamati hilo la kutoa sauti haisikiki hatutaki. Nyinyi ndio wale wa utawala wa sheria mnataka kero zisikilizwe faraghani wakati uongozi wa haki unataka kila kitu kiwe wazi.
  8. kmbwembwe

    Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Mama

    Watanzania tukatae jamani huu wizi wa bandari yetu. Ni uongo mtupu wanatumia. Walipoona tumejua ukweli ile concession ya dubai ilivyo haifai hata kulumangia ugali wakaja na ulaghai huu wa mkataba wa DP wakisema umezingatia maoni ya wananchi na kwamba ni kwa gati 2 tu. Sasa wametuambia ni gati...
  9. kmbwembwe

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    Umezungumza jambo moja muhimu sana. Bwawa la umeme limekamilika kwa hivyo wasia wa magufuli utekelezwe. Bei ya umeme ipunguzwe kwa kiasi kikubwa ili kuvutia wawekezaji na kuwapunguzia wafanya biashara gharama ili hatimae bei zishuke za bidhaa. Waroho wenye kutaka kufaidi peke yao uwekezaji wa...
  10. kmbwembwe

    MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

    muhas najua ni muhimbili na cuhas ni chuo kipi.
  11. kmbwembwe

    Unaenda Ibadan lakini unakuta muda mwingi unatumika kwa Matangazo na Kuuza T-shirt na Ticket za Matamasha, KKKT liangalieni hili!

    Na shule zikishajengwa kwa michango ya wote nafasi wanapewa watoto wa wachungaji na wazee wa usharika. Mfano kuna ile sekondari morogoro ilivuma kwa kufaulisha. Kilichofuata wakajaza kwa upendeleo watoto wa wachungaji na wazee wa usharika wakawa wanafeli hadi shule ikapoteza sifa.
  12. kmbwembwe

    Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

    Ni kweli kabisa. Wale tunaoona vizuri tunajua covid 19 watadunda hadi 2025 kumaliza ubunge maana wanahonga hadi chadema.
  13. kmbwembwe

    Unaenda Ibadan lakini unakuta muda mwingi unatumika kwa Matangazo na Kuuza T-shirt na Ticket za Matamasha, KKKT liangalieni hili!

    Nakubaliana kabisa. Yaani ukiingia ibada utafikiri umeingia hall la starehe. Ibada yenyewe siku hizi utafikiri uko kwa gwajima au mwamposa. Ulaghai sana mambo ya maombezi ni kelele utafikiri mungu ni kiziwi. Halafu sadaka bahasha karibu sita. Wacha zile sadaka za dharura. Yaani waomini...
  14. kmbwembwe

    Unaenda Ibadan lakini unakuta muda mwingi unatumika kwa Matangazo na Kuuza T-shirt na Ticket za Matamasha, KKKT liangalieni hili!

    Tena ibada kkkt siku hizi utafikiri uko pentecost wala sio lutheran. Program ya ibada ya kilutheri ilioka kwenye kitabu imechomekewa maombezi na uponyaji mungu anapigiwa kelele utafikiri ni kiziwi. Naona ulaghai kama wa kina mwamposa unajipenyeza kwa kasi kwenye ulutheri. Mungu tunusuru waomini...
Back
Top Bottom