Recent content by kimsboy

  1. kimsboy

    RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

    Wewe ni wa kupigiliwa misumali nyuma hadi ukufwe huna faida mama yako ana hasara kuzaa chawa kama wewe
  2. kimsboy

    Mwandishi afungwa baada ya kutoboa Siri ya Uhusiano wa Israel na Iran Fake Enemy

    Tapeli na liongo la jf[emoji23][emoji23]
  3. kimsboy

    Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

    Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto? Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya kimataifa vimempa airtime na headline yeye na Biden Nashangaa rais Samia yeye hapati kabisa...
  4. kimsboy

    Profesa Ndakidemi ataka bunge litunge sheria mashoga na wasagaji wanyongwe

    Huyu ndakidemi mwanae si ndo yule shoga anayetangaza Moshi Fm?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. kimsboy

    Mfahamu Mojtaba mtoto wa Ayatollah Khamenei anayetajwa kuwa mrirhi mtarajiwa

    Hawezi kumuachia mwanae katu!! Hizi mambo haziendagi hivyo iran sio nchi ya kifalme
  6. kimsboy

    Ikija kugundulika Israel wamehusika hiiiiii

    Nimewaza kwa upande wa pili kwamba ikitokea Mossad (Israel) au taifa lolote la kigeni lilihusika kwa ajali iliyotokea nchini Iran....Majibu ya Iran sasa (hiiiiii.... in mwendazake voice) yatakua mazito sana. Ila haya mambo yanafikirisha sana, tokea October 7 mambo yamekua magumu sana, Iran na...
  7. kimsboy

    Rostam Aziz ni nani hasa? Nyendo zake zinatia shaka

    Ni mchepuko wa kizimkazi
  8. kimsboy

    Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

    Kama kuna mkono wa Mossad wajiandae kupigwa makombora laki moja
  9. kimsboy

    Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  10. kimsboy

    Matatizo ya kukatika Internet nchi nzima alaumiwe Waziri Nape kwa kuikataa StarLink

    “Nape, unawaogopa StarLink. Kwanini?” February 2023, Michael Coudrey (30), Mwenyekiti na CEO Pharos Investment Group kutoka USA alimtaka C.E.O wa StarLink, Elon Musk kuhakikisha Starlink inapatika Afrika Mashariki hususani Tanzania ili watu wapate huduma ya intaneti yenye kasi zaidi ili kupata...
  11. kimsboy

    Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

    Hebu nambieni, kwa speed hii[emoji1313] (angalieni hyo picha nilotupia) ndugu zangu utafanyia nini? Huu ni uzembe wa hali ya juu kabisa halafu waziri bado yupo ofisini tu, Taifa limepata hasara, vijana wengi wamepata loss hasa wanaofanya biashara online biashara zinazotegemea intanet na malipo...
  12. kimsboy

    Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

    Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu? Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu Huyu jamaa amekua...
  13. kimsboy

    India yavunja rekodi ya kujenga kilometres 100 za lami kwa saa 100 tu

    Sijazoea kucopy hizo sio mambo zangu mzee ndo maana unaona nakosea!!,,mimisio kama hao macopy cat
Back
Top Bottom