Recent content by Best Ami

  1. B

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Wote hiyo hiyo sijawahi fagilia muuaji yeyote , mimi ni mkristo linapokuja swala la Israel na Iran mimi nabaki upande wa Iran na ktk ile mi 5 kwa Neta paka wa israel ili ujue naye atapita ni pigo dogo alilopigwa na muajemi huku akiwa ameambiwa lakini alialika mataifa kibao kumsaidia kwa bullions...
  2. B

    Tanzaniya nta ndege yarungitse Kenya nta ndege yarungitse Uganda ntiyarungitse indege

    How Tz can help Brnd while the situation is same rainfall is across the country
  3. B

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Yaani umejaza mavitu meengi ya kiupotoshaji eti Nkurunziza alituma kikosi rwanda duuuh siyo kweli ni vice versa kagame ndye alituma vikosi kuivamia burundi kupitia mkoa wa cankuzo baada ya burundi kuusoma mchezo walitega ambush kwakuruhusu wavamizi kuingia kirahi then wakashambuliwa kutoka nyuma...
  4. B

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Wee jamaa kweli shabik maandazi kagame amefanya mauaji ya kimbari DRC kwa miongo na miongo leo unamtetea , sisi tunasema kagame apigwe na mimi nimetoa mi 5 ya kifo kwake hadi utawala wake save the date
  5. B

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Sasa ww muisrael uishiye huko tuambie madhara gani yametokea yaani mnakuwa km watoto mnataka israel iseme ukweli kuwa imeharikiwa kiasi gani ? bila kusahau kasaidiwa na washirika wake kujirinda kwa bil.$ of dollars nyie mnafanya mchezo Israel anaugulia jamani acheni masihara na vita vya sasa...
  6. B

    Iran na Israel nani Mwamba

    Wew nawe utadhani una vina7 na ntnyahu mbona hujatengua kauli zako au ushafuta nyuzi zako za kusema iran haiwez kurisha hata jiwe ndani ya israel vp leo kiko wap au unasemaje
  7. B

    Iran wanaogopa kulipa kisasi, Ayatollah itabidi aishi kwenye Mahandaki kama Sin-war na Nasrallah

    Mimi cyo muislam hakika ila israel siiungi mkono kunyanyasa binadam wenzio wasiokuwa na hatia si sahihi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Israel yaendelea kutoa kipigo kwa HAMAS huku dunia ikiibembeleza isijibu Iran

    Mimi siyo muumini wala shabiki wa upande wowote ila wewe jamaa yangu kama huna nasaba na israel bora uchague timu ushabikie mpira maana unatia aibu hakika maana nimefatilia nyuzi zako nyingi ukisema Iran haiwezi kurusha jiwe kwenye mpaka wa Israel sasa karusha mamia ya makombora , kwa kitendo...
  9. B

    Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

    Weka majina na hao wahutu warefu kuzidi watusi ndyo nimesikia leo , ila ukweli rwand nafasi zote nyeti ni watutsi wanahodhi mfano jeshini wahutu wasio na vyeo ndyo wanapelekwa drc kusaidia m23 yaani wanaswagwa kufa huku wanaona kua wanakwenda kufa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

    RC alisema waacheni wanywe nia taaandikaaaa biaaa sasa wewe unauliza wanawake kupenda wanywa bia inakuaje?
  11. B

    Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

    Duuh nimevuta hisia ni ngumu kwakweli ila ongeza sana ukaribu naye na muwe karibu na MUNGU itawapa amani ya moyo nyote, Pole sana ndugu
  12. B

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Ndugu acha kudanganya tunalipwa vilaki 4 vitano huko mbona tunawekeza hayo mashamba tunayo tena maeneo potentiel kabisa
  13. B

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Biashara huku zipo nyingi nikukaa na kufanya sélection maana hapa kutoka kigogo stend hadi unafika maneromango ni wastani wa lisali 1 na nusu
Back
Top Bottom