Sipendi mtu mwenye mamlaka kubwa kama raisi anapokuwa siti ya mbele kushadadia vitu soft soft tu!
Hii nchi ina matatizo chungu nzima, yenye kuhitaji kushughulikiwa, inauma sana viongozi ambao tumewapa dhamana wanahangaika na mambo yasiyokuwa ya msingi ili apate kwenda na upepo uliopo.
Sikukuu...
Hii shida imetokea baada ya kufanya kazi ngumu sana, siyo kwa sababu ya umri au nyingine.
nilipata kusoma sehemu kuwa kubeba mizigo kuna ukomo, (kwamba ndani ya lisaa kuna uzito fulani unapaswa kubeba, ukizidisha hapo matatizo kama hayo yanaweza kutokea.
kwahiyo chanzo cha hilo tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.